Kufukuzwa Kazi Sio Mwisho wa Maisha! Yaweza Kuwa Mwanzo wa Mafanikio

John Diebold aliwahi kufukuzwa kwenye kampuni ambayo alikuwa ameajiriwa hapo kabla kwa kutofautiana na bosi wake Mwaka 1954.
.
Hata hivyo aliamua kuanzisha kampuni yake ya The Diebold Group ambayo alikomaa nayo na cha kushangaza baada ya Miaka 3 alikuwa amefanikiwa sana na alienda kuinunua kampuni ambayo ilikuwa imemfukuza.
.
Wakati mambo magumu yanatutokea ili yatukutanishe na KITU HALISI tunachotakiwa kufanya.Kuna wakati mambo tusiyoyatarajia yanatutokea ili yatusaidie KUDHIHIRISHA UKUU ULIO NDANI yetu.
.
Usiwachukie wanaokunyima fursa,usiwachukie wanaokupinga,usiwachukie wanaokusema vibaya kuhusu Ndoto yako.Pambana kwa bidii ili siku moja waje wanunue bidhaa zako,watumie huduma ama uwaajiri.Hamishia hasira zako katika KUFANYA.
.
Kuna watu wana kufanyia mambo Mabaya leo wanadhani WANAKUKOMOA kumbe wanakutengenezea MAZINGIRA ya kufanya KITU SAHIHI KWENYE MAISHA YAKO.
.
Je,Uko Tayari kuwa kama John Diebold.
.
By: Joel nanauka
#Pambana Kuijenga Kesho Yako #Timizamalengoyako written
by: John Jonas Kiwovele - 0766-848616
Asante San Sasa ndugu kwa mfano tusio kuwa na chakuanzia ht Mia ILi tupate njia
ReplyDelete